Jul 7, 2013

Tamasha la Matumaini lafana...

Rais kikwete akifungua tamasha la matumaini leo uwanja wa Taifa jijini Dar.
Rais Kikwete akiteta na Eric Shigongo mwandaaji wa Tamasha la Matumaini.





 Rais JK akiongea na kadamnasi

Timu ya Wabunge wapenzi wa Yanga.
Timu ya Wabunge wapenzi wa Simba.
Wekundu wakiingia Uwanjani.
Yanga hao wakiingia Uwanjani.
Ngumi zikipigwa kati ya Mbunge Halima Mdee na Muigizaji Jackline Wolper. Hakuna aliyeshinde, walitoka makonde 10 - 10
Mbunge Ester Bulaya akiikataa ngumi iliyorushwa na Aunt Ezekiel (kushoto). Mshindi hakupatikana, droo ya Makonde 5 - 5.

Bongo Movie kushoto na Bongo Flava kulia wakiiimba wimbo wa taifa.
Keptaini wa Bongo Fleva H. Baba akiongoza mashambulizi.

Godi Muhokozi wa timu ya Bongo flava akishangilia goli alilolifunga katika kipindi cha kwanza. Pembeni yake ni Abdul Kiba.

Mbunge wa Sengerema Mh. William Ngeleja akimkabidhi kombe la ushindi nahodha wa timu ya Bongo Flava msanii H - Baba baada ya ushindi wa Penati 2 - 0.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...